Ticker

6/recent/ticker-posts

UFINYU WA ENEO USIKUFANYE USHINDWE KUFANYA KILIMO

Changamoto ya eneo imekuwa kubwa hususani kwa watu wanaoishi katika nyumba za kupanga, pamoja na baadhi ya watu wanaoishi mijini na sehemu zenye misongamano 
Hakuna kitu kizuri kama kula chakula ulicholima mwenyewe ,Siku hizi kumekuwa na changamoto kubwa hususani kwenye matunzo na makuzi ya mboga mboga na matunda ,watu wengi wamekuwa wakizikuza kwa kutumia madawa makali pamoja na kemikali ili kuleta matokeo ya haraka ,jambo ambalo  limeleta madhara kwenye afya za watu wengi
Je umekuwa ukisumbuka unatamani kulima? ila changamoto ya eneo imekuwa ikikusumbua sana na kukukatisha tamaa ya kuanzisha bustani ya mbogamboga na matunda 
Leo nipo hapa kukuondoa hofu kuwa kilimo kinawezekana ukiwa sehemu yoyote labda usiamue tu 
Tumia mifuko iliyojazwa udongo na mbolea kulima,pia waweza tumia makopo au ndoo zilizotobolewa kuoteshea mboga mboga na matunda 
Endelea kufuatilia Tovuti yetu ,makala ijayo Tumekuandalia somo zuri ,jinsi ya kuandaa bustani kwa kutumia mifuko, endelea  kufuatilia tovuti  hii usipitwe na mambo mazuri
 


                               


                                



                                                   






Post a Comment

1 Comments